Friday, April 19, 2013

Japokuwa kunarasilimali za kutosha lakini wananchi wake bado wanakabiliwa naumasikini.....,

Richa ya kuwepo kwa rasilima za kutosha katika wilaya ya Rungwe kama vile vivutio vingi vya utalii na aridhi nzuri ya kilimo ,lakini wananchi wa wilaya hii wanakabiliwa na umasikini.hii  ni kwa sababu na wakazi wengi kutozitumia rasilima hizo,Pili ni uzembe wa viongozi kuto kuwaamasisha wanchi katika shughuli za maendeleo,kwa mfano sekta ya utalii tu wilayani rungwe kama itapata furusa ya kutangazwa basi itachangia kwa kiasi kikubwa sana ustawi wa wilaya hii pamoja na taifa kwa ujumla.

No comments:

Post a Comment