Friday, April 12, 2013

Wazazi shule ya sekondari Bujinga wilayani Rungwe walalamikia uongozi wa shule hiyo.

Wazazi shule ya sekondari Bujinga wilayani Rungwe  wamemwomba mkuu wa wilaya hiyo ajaribu kuutanzama uongozi wa shule hiyo kwa makini,hili  kutatua kero zinazosababisha wanafunzi kuendelea kufeli.

No comments:

Post a Comment