Saturday, April 20, 2013

Umoja wa wakristo wilayani Rungwe waandaa ibada ya kuombea amani taifa la Tanzania

Baada ya kutokea mauaji ya watoto wawili katika maeneo ya Busekelo wilayani Rungwe ,Umoja wa wakristo umeandaa ibada ya kuombea amani wilaya hiyo pamoja na taifa kwa ujumla,ibada iyo imeudhuliwa na viongozi mbalimbali wa  dini,kwa upande wa serikali uliwakilishwa na mkuu wa wilaya ya rungwe

No comments:

Post a Comment