Thursday, March 28, 2013

Rungwe ni bustani ya Adeni

Sababu inayonifanya  kusema rungwe ni bustani ya Adeni,  ni kuwepo kwa hali ya hewa nzuri  muda wote wa mwaka  na kingine ni kuwepo kwa bustani za asili zenye mimea ya kuvutia na wadudu na wanyama ambao awapatikani sehemu nyingine yoyote zaidi ya Rungwe....

No comments:

Post a Comment