Monday, April 1, 2013

Kama tutaiangalia kwa jicho la tatu wilaya ya rungwe,tatizo la umeme nchini Tanzania litakuwa limekwisha

Tatizo la umeme linalotusumbua nchini Tanzania linawezakuisha endapo tutaweza kuzitumia rasilimali za Rungwe vizuri basi  tatizo la umeme litakuwa historia nchini kwetu, rungwe kuna vyanzo vya umeme kama vile makaa ya mawe kiwila,mapolomoko ya maji mbalimbali yanayopatikana katika mlima rungwe kama kaparogwe falls.

No comments:

Post a Comment