Thursday, March 21, 2013

WANANCHI RUNGWE wamefurahishwa na kitendo cha mwekezaji kukubali kujenga kiwanda cha kusindika gesi inayochimbwa RUNGWE.

Wakazi wilayani Rungwe wamefurahishwa na kitendo cha mwekezaji kukubali kujenga kiwanda cha kusindika gesi inayochimbwa wilayani Rungwe mkoani Mbeya.


Hata hivyo licha kiwanda hicho kujengwa Rungwe Serikali imesisitiza kuwa gesi hiyo ni mali ya watanzania wote na hakuna mwananchi wa Rungwe mwenye haki ya kuikatalia isisafirishwe kwenda maeneo mengine ya nchi.

No comments:

Post a Comment